Wij reciteren voor jullie in waarheid de geschiedenissen van Mozes en Farao, voor een volk dat gelooft.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Tunakusimulia wewe habari ya Mūsā na Fir’awn kwa ukweli (ili wazingatie wale) watu wanaoiamini hii Qur’ani na wakubali kwamba inatoka kwa Mwenyezi Mungu na wafanye matendo yanayoambatana na uongofu wake.