En wat jullie ook gegeven is: het is een vermaak van het leven van (deze) wereld en haar versiering, en dat wat bij Allah is, is beter en zal voor eeuwig blijven. Hebben jullie dan geen verstand?
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Na chochote kile mlichopewa, enyi watu, cha mali na watoto, basi hayo ni starehe ya nyinyi kustarehe nayo katika maisha haya ya kilimwengu na ni pambo la kujipamba nalo. Na yaliyoko kwa Mwenyezi Mungu, yaliyowekewa watu walio watiifu Kwake na wenye kumtegemea, ni bora zaidi na ni yenye kusalia zaidi, kwani hayo ni ya daima yasiyomalizika. Basi nyinyi hamuwi na akili, enyi watu, ya kuzingatia kwayo, mkajua lema na ovu?