Aanmelden
Aanmelden
Aanmelden
Taal selecteren

Tafseer: Ghafir 40:44

40:44
فستذكرون ما اقول لكم وافوض امري الى الله ان الله بصير بالعباد ٤٤
فَسَتَذْكُرُونَ مَآ أَقُولُ لَكُمْ ۚ وَأُفَوِّضُ أَمْرِىٓ إِلَى ٱللَّهِ ۚ إِنَّ ٱللَّهَ بَصِيرٌۢ بِٱلْعِبَادِ ٤٤
فَسَتَذۡكُرُونَ
مَآ
أَقُولُ
لَكُمۡۚ
وَأُفَوِّضُ
أَمۡرِيٓ
إِلَى
ٱللَّهِۚ
إِنَّ
ٱللَّهَ
بَصِيرُۢ
بِٱلۡعِبَادِ
٤٤
En jullie zullen je herinneren wat ik jullie vertel, en ik laat mijn zaak aan Allah over. Waarlijk, Allah is de Alziende van (Zijn) dienaren.”
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Alipowasihi na wasimkubalie aliwaambia, «Basi mtakumbuka kuwa mimi niliwasihi na nikawakumbusha, na mtajuta wakati ambao majuto hayatanufaisha. Na mimi ninahamia kwa Mola wangu nataka hifadhi Yake na ninamtegemea Yeye, hakika Mwenyezi Mungu, Aliyetakasika na kutukuka, ni Mtambuzi wa hali za waja na malipo wanayostahiki malipo, hakuna kinachofichamana Kwake chochote katika hayo.»