Zij zullen aan het Vuur worden blootgesteld, in de ochtend en de middag. En de Dag waarop het Uur valt (zal er tegen de Engelen gezegd worden): “Laat het volk van Farao de zwaarste bestraffing binnengaan!”
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Kwanza walipatikana na gharika wakaangamia, kisha wakawa wanaadhibiwa ndani ya makaburi yao ambapo Moto unaorodheshwa kwao, asubuhi na jioni, mpaka wakati wa kuhesabiwa. Na Siku ambayo Kiyama kitasimama kutasemwa, «Watieni Motoni jamaa wa Fir’awn ukiwa ni malipo ya matendo mabaya waliyoyatenda.» Aya hii ndio msingi wa kuthibitisha adhabu ya kaburini.