De hoogmoedigen zullen zeggen: “Wij zijn hier samen in! Waarlijk! Allah heeft tussen Zijn dienaren geoordeeld.”
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Viongozi waliokuwa na kiburi watasema, wakieleza ulemevu wao, «Hatutawabebea kitu chochote cha adhabu ya Moto, na hali sisi sote tumo ndani yake, hatuna namna ya kuokoka nao, Mwenyezi Mungu Amegawanya adhabu baina yetu kwa uamuzi Wake wa haki, kila mmoja wetu kwa kadiri anayostahiki.»