En jullie Heer zei: “Roep Mij aan "en Ik zal jullie verhoren. Waarlijk! Degene die Mijn aanbidding minachten zullen zeker in vernedering de Hel binnentreden!”
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Na Anasema Mola wenu, «Enyi waja! Niombeni Peke Yangu na niabuduni mimi tu, nitawakubalia maombi yenu. Hakika ya wale wenye kufanya kiburi kwa kukataa kunipwekesha katika ibada na ustahiki wa kuabudiwa wataingia Moto wa Jahanamu wakiwa watwevu na wanyonge.