Zo worden degenen die de Tekenen van Allah loochenen, afgeleid.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Kama mlivyoikanusha haki, enyi makafiri wa Kikureshi, na mkaipa mgongo na mkaenda kwenye ubatilifu, hivyo ndivyo wanavyopotoshwa na haki na kuiamini wale waliokuwa wakizikanusha hoja za Mwenyezi Mungu na dalili Zake.