Onze Heer! En laat hen de Eeuwige Tuinen binnentreden, die U hen beloofde, en wie rechtschapenen waren onder hun vaderen, hun echtgenotes en hun nageslacht. Waarlijk, U bent de Almachtige, de Alwijze.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
«Mola wetu! Na uwatie Waumini kwenye mabustani ya Pepo ya 'Adn uliyowaahidi wao na baba zao, wake zao na watoto wao waliokuwa wema kwa Imani na matendo mazuri. Hakika wewe Ndiye Mshindi Mwenye kukilazimisha kila kitu, Ndiye Mwingi wa hekima katika uendeshaji Wake na utengenezaji Wake.