Alif, Lām, Rā (Dit is) een Boek, waarvan de verzen onherroepelijk zijn gemaakt en dan nauwkeurig worden uitgelegd door de Ene, Die Alwijs en Welbekend (met alle zaken is).
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Alif, Lām, Rā’. Maneno yashatangulia, kuhusu herufi zinazokatwa, katika mwanzo wa Sura ya Al-Baqarah. Hiki ni Kitabu ambacho Mwenyezi Mungu Amemteremshia Muhammad, rehema ya Mwenyezi Mungu na amani zimshukiye, na ambacho aya zake zimepangwa vizuri zisizo na kasoro wala ubatilifu, kisha zimefafanuliwa kwa maamrisho na makatazo na maelezo ya halali na haramu yatokayo kwa Mwenyezi Mungu Aliye na hekima katika uendeshaji mambo Aliye Mtambuzi wa vile yanavyoishia.