Maar als Wij hem de goede (gunsten) na het kwaad laten proeven dan is hij geraakt, hij zal zeker zeggen: “Het kwaad heeft mij verlaten.” Zeker, hij is verheugd en hoogmoedig.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Na lau tutamnyoshea mwanadamu dunia yake na tukamkunjulia riziki yake baada ya dhiki za maisha, atasema hapo, «Nimeondokewa na dhiki na shida.» Hakika yeye ni mwenye kujigamba kwa hizo neema, ni mwenye kuendelea sana katika kujifahiri na kujitukuza kwa watu.