Zij zullen daarin verblijven, zolang als de hemelen en de aarde bestaan, behalve als jouw Heer het anders wil. Waarlijk, jouw Heer doet wat Hij wil.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Watakuwa ni wenye kukaa humo milele muda wa kuweko mbingu na ardhi, hivyo basi adhabu yao haitakatika wala haitakoma, bali ni adhabu ya daima iliyotiliwa mkazo, isipokuwa iwapo Mola wako atataka, kwa kuwatoa waliompwekesha waliofanya maasia baada ya muda fulani wa kukaa kwao Motoni. Hakika Mola wako ni Mwenye kufanya Analolitaka.