Als zij jou niet antwoorden, weet dan dat de Openbaring met de Kennis van Allah neergezonden is en dat er geen god is dan Hij. Zullen jullie je dan aan Allah overgeven?
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Iwapo washirikina hawa hawatawaitikia nyinyi, ewe Mtume na walio pamoja na wewe, kwa yale mnayowaitia , kwa kulemewa kufanya hivyo, basi jueni kwamba hii Qur’ani, kwa hakika Mwenyezi Mungu Amemteremshia Mtume Wake kwa ujuzi Wake, na si maneno ya binadamu. Na jueni kwamba hapana mola apasae kuabudiwa kwa haki isipokuwa Mwenyezi Mungu. Je nyinyi, baada ya kusimama hoja hii kwenu, ni wenye kujisalimisha, ni wenye kunyosha shingo kwa Mwenyezi Mungu na Mtume Wake?