Hij zei: “Slechts Allah doet het komen als Hij wil en dan kunnen jullie er niet aan ontsnappen.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Nūḥ, akasema kuwaambia watu wake, «Mwenyezi Mungu , Peke Yake, Ndiye Atakayewaletea nyinyi adhabu atakapo, na nyinyi si wenye kuiponyoka Akitaka kuwaadhibu, kwani Yeye, kutakata na sifa za upungufu ni Kwake, hakuna chochote chenye kumlemea katika ardhi wala katika mbingu.