En toen Onze gezanten (Engelen) bij Loeth kwamen, was hij bedroefd en voelde zich bezwaard over hen en voelde zichzelf door hen in het nauw gedreven. Hij zei: “Het is een verschrikkelijke dag.”
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Na Malaika wetu walipomjia Lūṭ, aliudhika kwa kuja kwao na akaingiwa na hamu kwa hilo. Hivyo ni kwa kuwa yeye hakuwa anajua kwamba wao ni wajumbe wa Mwenyezi Mungu, akawachelea wasidhuriwe na watu wake na akasema, «Hii ni siku ya mtihani na shida.»