En vraag vergiffenis aan jullie Heer en keer je tot Hem in berouw. Waarlijk, mijn Heer is Genadevol, Meest Liefdevol.”
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Na ombeni kutoka kwa Mola wenu msamaha wa dhambi zenu, kisha rudini kumtii na endeleeni juu yake. Hakika Mola wangu ni Mwingi wa rehema, ni Mwingi wa mapenzi na mahaba kwa aliyetubia na akarejea Kwake.» Katika hii aya, pana kuthibitisha sifa ya raḥmah (kurehemu) na mawaddah (kupenda) kwa Mwenyezi Mungu, Aliyetukuka, kama inavyonasibiana na Yeye, kutakata na sifa za upungufu ni Kwake.