Alsof zij daar nooit geleefd hadden! Verdoemd zij de Madyan. Zoals ook de Thamoed werden verdoemd.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Kama kwamba wao hawakukaa kwenye nyumba zao wakati wowote. Jueni kwamba watu wa Madyan waliepushwa na rehema ya Mwenyezi Mungu, kwa kuwa Mwenyezi Mungu aliwaangamiza watu wake na akawalaani, kama vile kina Thamūd walivyoepushwa na rehema Yake. Makabila mawili haya yalishirikiana katika kuwa mbali na rehema ya Mwenyezi Mungu na kuangamia.