Opdat zij van haar vruchten eten, en van wat hun handen hebben verricht. Zullen zij dan niet danken?
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Yote hayo ili waja wapate kula matunda yake. Na hayo hayakuwa isipokuwa ni rehema ya Mwenyezi Mungu kwao, na si kwa harakati zao za kutafuta na bidii zao, wala si kwa hila zao na nguvu. Basi si wamshukuru Mwenyezi Mungu Aliyewaneemesha neema hizi ambazo hazihesabiki wala hazidhibitiki?