Wie begaat er een grotere zonde dan degene die een leugen over Allah verzint of Zijn Tekenen ontkent? Zeker, de misdadigers zullen nooit slagen!
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Hapana yoyote mwenye udhalimu mkubwa zaidi kuliko yule aliyemzulia Mwenyezi Mungu urongo au akazikanusha aya Zake. Hakika ni kwamba hawatafuzu waliowakanusha Manabii wa Mwenyezi Mungu na Mitume Wake wala hawatafaulu.