Of zij zeggen: “Hij (Mohammed) heeft het verzonnen.” Zeg: “Breng dan een soerah dat daaraan gelijkwaardig is en roep iedereen aan die jullie kunnen, buiten Allah, als jullie waarachtigen zijn!”
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Au kwani wao wanasema kwamba Muhammad ameizua hii Qur’ani yeye mwenyewe? Wao wanajua kwamba yeye ni mwanadamu kama wao. Waambie, «Basi leteni sura moja inayofanana na hii Qur’ani katika mpango wake na uongozi wake, na takeni usaidizi wa kufanya hilo kwa mnayemuweza, badala ya Mwenyezi Mungu, miongoni mwa majini na binadamu, iwapo nyinyi ni wakweli katika madai yenu.»