Degenen die geloven en voortdurend (Allah) vrezen. (en zich van slechte daden en zonden afzijdig houden)
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Sifa za Mawalii hawa ni kwamba wao wamemuamini Mwenyezi Mungu na wamemfuata Mtume Wake na yale ambayo alikuja nayo kutoka kwa Mwenyezi Mungu na kwamba wao wanamcha Mwenyezi Mungu kwa kuzifuata amri Zake na kuyaepuka matendo ya kumuasi.