Aanmelden
Aanmelden
Aanmelden
Taal selecteren

Tafseer: Yunus 10:85

10:85
فقالوا على الله توكلنا ربنا لا تجعلنا فتنة للقوم الظالمين ٨٥
فَقَالُوا۟ عَلَى ٱللَّهِ تَوَكَّلْنَا رَبَّنَا لَا تَجْعَلْنَا فِتْنَةًۭ لِّلْقَوْمِ ٱلظَّـٰلِمِينَ ٨٥
فَقَالُواْ
عَلَى
ٱللَّهِ
تَوَكَّلۡنَا
رَبَّنَا
لَا
تَجۡعَلۡنَا
فِتۡنَةٗ
لِّلۡقَوۡمِ
ٱلظَّٰلِمِينَ
٨٥
Zij zeiden: “In Allah leggen wij ons vertrouwen. Onze Heer! Maak ons geen voorwerp van vervolging voor een volk dat onrechtvaardig is.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Watu wa Mūsā walisema kumwambia, «Tumemtegemea Mwenyezi Mungu Peke Yake Asiye na mshirika na tumemwachia Yeye mambo yetu. Ewe Mola wetu, usiwape ushindi juu yetu ikawa ni mtihani kwetu katika Dini yetu, au ikawa ni mtihani kwa makafiri kwa kupata ushindi wakasema: lau wao (wenye kumuamini Mūsā) wako kwenye haki hawangalishindwa.