Dan zal daarna een jaar komen waarin de mensen overvloedig regen hebben en daarin zij zullen persen.”
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
«Kisha utakuja, baada ya myaka hii ya chaka, mwaka ambapo watu watanyeshezewa mvua, na hivyo basi Mwenyezi Mungu, Aliyetukuka, Awaondolee shida, hapo wakamue matunda kwa wingi wa mavuno na neema.»