En toen hij hen van voorraden had voorzien zei hij: “Breng mij jullie broeder van jullie vaders kant. Zien jullie niet dat ik de volle maat geef en dat ik de beste gastheer ben?
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Yūsuf aliamuru wakirimiwe na wakaribishwe vizuri, kisha akawapa chakula walichotaka. Na walikuwa wamemwambia kwamba wana ndugu yao wa kwa baba ambaye hawakumleta pamoja nao, wakimaanisha ndugu yake Binyamin, akasema, «Nileteeni ndugu yenu wa kwa baba, kwani hamuoni kwamba mimi nimewapimia chakula vizuri na nimewakirimu kwa kuwakaribisha, na mimi ni mwema wa kuwakaribisha?