Toen hij hen nog verder bevoorraad had, legde hij de drinkbeker in de tas van zijn broeder en toen riep iemand: “O jullie van de karavaan! Jullie zijn zeker dieven!”
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Na alipowatayarishia Yūsuf na akawabebesha chakula ngamia wao, aliwaamuru watumishi wake wakakiweka kile chombo, ambacho alikua akiwapimia nacho watu, kwenye vyombo vya ndugu yake Binyamin kwa namna ambayo asitambue yoyote. Basi walipopanda kwenda zao, aliita mwenye kuita akisema, «Enyi wenye ngamia waliobebeshwa chakula, nyinyi ni wezi!»