Toen zij zeiden: “Waarlijk, onze vader houdt meer van Yoesoef en zijn broeder dan van ons, maar wij zijn een sterke groep. Werkelijk onze vader verkeert in duidelijke dwaling.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Waliposema ndugu zake Yūsuf wa kwa baba kuambiana wao kwa wao, «Hakika Yūsuf na ndugu yake wa kwa baba na mama wanapendwa zaidi na baba yetu kuliko sisi. Anawafanya wao bora juu yetu, na sisi ni kundi lenye idadi kubwa. Hakika baba yetu yuko makosani waziwazi, kwa kuwa amewafanya wao ni bora juu yetu bila ya sababu tunayoiyona yenye kupelekea kufanya hivyo.