En toen de karavaan het land uittrok, zei hun vader: “Ik ruik de geur van Yoesoef, zelfs al zien jullie mij voor zwakzinnig aan.”
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Msafara ulipotoka nchi ya Misri wakiwa na ile kanzu, Ya’qūb alisema kuwaambia wale waliokuwa na yeye, «Mimi nasikia harufu ya Yūsuf, ingawa nyinyi mtanifanya ni mchache wa akili, mtanicheza shere na mtadai kwamba maneno haya yametoka kwangu bila ya fahamu.»