En iedereen die zich overgeeft aan Allah terwijl hij een weldoener is: dan heeft hij inderdaad een sterk houvast gegrepen. En tot Allah keren alle zaken terug voor een beslissing.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Na mwenye kumtakasia Mwenyezi Mungu ibada yake na kumkusudia kwake Mola wake Aliyetukuka, na akawa mwema katika maneno yake, mwenye kutengeneza matendo yake, basi huwa ameshikamana na kamba yenye kufikisha kwenye radhi za Mwenyezi Mungu na Pepo Yake. Na kwa Mwenyezi Mungu Peke Yake yanakuwa mambo yote, Akamlipa aliye mwema kwa wema wake na aliye mbaya kwa ubaya wake.