Degenen die hun gebeden perfect verrichten en de Zakat betalen en een zeker geloof hebben in het Hiernamaals.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Wanaotekeleza Swala kikamilifu kwa nyakati zake na wanaotoa Zaka zilizo lazima juu yao kwa wanaostahiki kupewa. Na hali wao wana yakini kuwa kuna kufufuliwa na kulipwa Akhera.