En zo droeg zij hem en zij trok zich met hem terug naar een verre plaats.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Maryam akabeba mimba ya mtoto wa kiume baada ya Jibrili kupuliza kwenye mwanya wa kanzu yake, na pulizo hilo likafika kwenye uzao wake, na kwa sababu hiyo mimba ikaingia, na akaenda nayo mahali mbali na watu.