Ibrahim zei: “Vrede zij met jou! Ik zal vergiffenis voor jou vragen bij mijn Heer. Waarlijk! Hij is voor mij altijd Genadig.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Ibrāhīm alisema kumwambia baba yake, «Amani juu yako kutoka kwangu, halitakufikia kutoka kwangu jambo unalolichukia, na nitakuombea Mwenyezi Mungu uongofu na msamaha. Hakika Mola wangu ni Mwingi wa huruma ni Mpole kwangu kulingana na hali yangu, nikimuomba Ataniitikia.