Denken zij dan niet diep na over de Koran, of zijn hun harten afgesloten?
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Je, si wayazingatie mawaidha ya Qur’ani wanafiki hawa na wazifikirie hoja zake? Lakini nyoyo hizi zimefungwa, hakuna kitu cha hii Qur’ani kinachozifikia, hivyo basi haziyatii akilini mawaidha ya Mwenyezi Mungu na mazingatio yake.