Of denken degenen in wier harten een ziekte is, dat Allah hun afgunst niet zal onthullen?
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Au kwani wanadhani hao wanafiki kuwa Mwenyezi Mungu Hatovitoa vile vilivyomo ndani ya nyoyo zao vya uhasidi na kuuchukia Uislamu na wafuasi wake? Ndio, Mwenyezi Mungu Atamtenganisha mkweli kutokana na mrongo.