En Hij doet hen het Paradijs binnengaan dat Hij aan hen bekend heeft gemaakt.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
na Awatie Peponi ambayo Aliwajulisha na Akawasifia, na Akawaafikia kusimama kuyafanya yale Ailyowaamrisha, na miongoni mwayo ni kufa shahidi katika njia Yake, kisha atawajulisha wao mashukio yao huko Peponi watakapoingia humo.