Dat is omdat zij haatten wat Allah heeft neergezonden, dus maakte Hij hun daden nutteloos.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Hayo ni kwa sababu wao walikichukia Kitabu cha Mwenyezi Mungu kilichoteremshwa kwa Mtume Wake Muhammad, rehema ya Mwenyezi Mungu na amani zimshukie, wakakikanusha, na Mwenyezi Mungu akayatangua matendo yao kwa kuwa yalikuwa katika kumtii Shetani.