En Noach zei: “Mijn Heer! Laat geen enkele ongelovige op aarde!
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Na akasema Nūḥ, amani imshukie, baada ya kukata tama na watu wake, «Mola wangu! Usimuache yoyote miongoni mwa wale wanaokukanusha kuwa ni mwenye kuishi juu ardhi akizunguka na kutembea.