(Er wordt gezegd:) “Dit is wat jullie beloofd is, aan iedere berouwvolle, wakende.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Na waambiwe hao Waumini, «Hii ndiyo ile mliokuwa mkiahidiwa, enyi wachamungu, kwa kila mtubiaji dhambi zake, mwenye kukitunza kila kinachomkurubisha kwa Mola Wake miongoni mwa mambo ya lazima na ya utiifu;