En hoeveel generaties vóór hen hebben Wij niet vernietigd, die sterker waren dan zij? Zij reisden toen in de landen, was er een kans om te vluchten?
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Na tuliwaangamiza, kabla ya hao washirikina wa Kikureshi, ummah wengi. Walikuwa wana nguvu na ujebari kuliko wao. Walizunguka mijini wakafuata kila njia kutaka kuyakimbia maangamivu. Basi je, kuna makimbilizi yoyote ya kujiepusha na adhabu ya Mwenyezi Mungu itakapowajia?