Wij weten het beste wat zij zeggen; en jij (O Mohammed) bent geen tiran over hen. Vermaan dus met de Koran degenen die Mijn bedreiging vrezen.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Sisi ni wajuzi zaidi kwa wanayoyasema hawa washirikina, ya kumzulia Mwenyezi Mungu urongo na kukanusha aya Zake. Na hukuwa wewe, ewe Mtume, umepewa nguvu juu yao ya kuwalazimisha waingie katika Uislamu, hakika ni kwamba wewe umetumilizwa uwe mfikishaji. Basi mkumbushe kwa Qur’ani anayeogopa onyo langu, kwa kuwa asiyeogopa onyo (la Mwenyezi Mungu) hafaidiki kwa kukumbushwa.