Of behoort het koninkrijk van de hemelen en de aarde en alles wat daar tussen is hen toe? Als dat het geval is laten zij dan hun middelen vermeerderen.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Au kwani washirikina hawa wana mamlaka ya mbinguni na ardhini na vilivyoko baina ya viwili hivyo, hivyo basi wakatoa na kuzuia? Basi wazishikilie kamba zenye kuwafikisha mbinguni wapate kutoa uamuzi wanaoutaka wa kutoa na kuzuia.