En gedenk Ismaël, Elisha en Dhoel Kifl, allen behoren tot de besten.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Wakumbuke, ewe Mtume, waja wetu: Ismā'īl, Ilyasa' na Dhulkifl kwa utajo mzuri sana. Na kila mmoja miongoni mwao ni katika watu wema ambao Mwenyezi Mungu Aliwachagua miongoni mwa viumbe na Akawachagulia hali na sifa kamilifu kabisa.