En wanneer Ik hem heb gevormd en hem van Mijn geest heb ingeademd, werp je dan in gehoorzaamheid voor hem neder.”
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Basi nitakapousawazisha mwili wake na umbo lake na nikapuliza roho ndani yake na uhai ukatambaa humo, msujudieni» sijida ya heshima na kukirimu, na siyo sijida ya ibada na kutukuza. Kwani ibada haiwi isipokuwa kwa Mwenyezi Mungu, Peke Yake. Na Mwenyezi Mungu Ameharamisha, katika Sheria ya Kiislamu, kusujudu kwa njia ya maamkizi.