Op die Dag zal de mensheid uitsluitend Allah’s Oproeper volgen; er is geen (mogelijkheid) om aan hem te ontsnappen. En alle stemmen zullen zich vernederen voor de Barmhartige en jullie zullen niets anders horen dan zacht gefluister.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Katika siku hiyo, watu wataifuata sauti ya mlinganizi kuelekea kwenye kisimamo cha Kiyama, hakuna njia ya kuepuka ulinganizi wa mwenye kulingania, kwani huo ni haki na kweli kwa viumbe wote. Hapo sauti zitatulia kwa kumnyenyekea Mwingi wa rehema, hutasikia kutoka kwao isipokuwa sauti ya ndani isiyosikika.