Waarlijk! Iedereen die als een zondaar naar zijn Heer komt, voor hem is zeker de Hel, daarin zal hij noch sterven noch leven.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Ukweli wa mambo ni kwamba mwenye kumjia Mola wake hali ya kuwa amemkanusha, basi atapata moto wa Jahanamu atakaoteswa nao; hatakufa humo akapumzika wala hataishi maisha ambayo atayafurahia.