Porém, quando arremessaram, disse Moisés: O que haveis feito émagia, e certamente Deus o anulará, porque Ele nãoapóia a obra dos corruptores.
Tafsirs
Camadas
Lições
Reflexões
Respostas
Qiraat
Hadith
Walipozitupa kamba zao na fimbo zao, Mūsā aliwaambia, «Mlivyokuja navyo mkavitupa ni uchawi. Mwenyezi Mungu Ataviondoa mlivyokuja navyo na atavitangua. Hakika Mwenyezi Mungu Hakitengenezi kitendo cha anayetembea katika ardhi ya Mwenyezi Mungu kufanya mambo Anayoyachukia na kufanya uharibifu humo kwa kumuasi.