Muitos tomam conhecimento da graça de Deus, e em seguida a negam, porque a sua maioria é iníqua.
Tafsirs
Camadas
Lições
Reflexões
Respostas
Qiraat
Hadith
Washirikina hawa wazijua neema za Mwenyezi Mungu juu yao za kutumilizwa Muhammad, rehema ya Mwenyezi Mungu na amani zimshukie, kwao, kisha wanaukanusha utume wake. Na wengi wa watu wake ni wale wanaoukanusha utume wake na sio wanaoukubali.