E fizemos o céu como abóbada bem protegida; e, apesar disso, desdenham os seus sinais!
Tafsirs
Camadas
Lições
Reflexões
Respostas
Qiraat
Hadith
Na tumeifanya mbingu ni sakafu ya ardhi, haiinuliwi na nguzo, nayo imetunzwa, haianguki wala haipenywi na mashetani. Na makafiri wameghafilika na kupumbaa kutozizingatia alama za mbnguni (Jua, mwezi na nyota) na kutozifikiria.