Dize: Quem poderá proteger-vos, à noite e de dia, (do seu castigo) do Clemente? Sem dúvida, eles desdenham a mençãodo seu Senhor.
Tafsirs
Camadas
Lições
Reflexões
Respostas
Qiraat
Hadith
Sema, ewe Mtume, kuwaambia hawa wanaoifanyia haraka adhabu, «Hakuna anayewahifadhi na kuwalinda na adhabu ya Mwenyezi Mungu ikiwashukia , usiku wenu au mchana wenu, katika kulala kwenu au kuangaza kwenu?» Bali wao wamepumbaa na wameghafilika na Qur’ani na mawaidha.