E os designamos imames, para que guiassem os demais, segundo os Nossos desígnios, e lhes inspiramos a prática dobem, a observância da oração, o pagamento do zakat, e foram Nossos adoradores.
Tafsirs
Camadas
Lições
Reflexões
Respostas
Qiraat
Hadith
Na tukamfanya Ibrāhīm, Isḥāq na Ya'qūb kuwa viongozi wa watu, wanawalingania wamuabudu Yeye na kumtii kwa idhini Yake Aliyetukuka, na tuliwaletea wahyi kufanya mema ya kuzifuata kivitendo sheria za Manabii, kusimamisha Swala kwa njia zake na kutoa Zaka. Na wao walizifuata amri hizo na walikuwa watiifu kwa Mwenyezi Mungu Peke Yake bila Mwingine.