Entre os humanos há quem discute nesciamente acerca de Deus e segue qualquer demônio rebelde.
Tafsirs
Camadas
Lições
Reflexões
Respostas
Qiraat
Hadith
Na baadhi ya vichwa vya ukafiri miongoni mwa watu wanaleta utesi na wanatilia shaka uweza wa Mwenyezi Mungu wa kufufua, kwa ujinga wao wa kutojua uhakika wa uweza huu na kwa kumfuata kila shetani mwenye kumuasi Mwenyezi Mungu na Mitume Wake kati ya viongozi wa upotevu.