E quantas cidades iníquas temos tolerado! Mas logo as castigarei e a Mim será o destino.
Tafsirs
Camadas
Lições
Reflexões
Respostas
Qiraat
Hadith
Kuna miji mingi ilikuwa kwenye udhalimu, kwa ukakamavu wa watu wake juu ya ukafiri, nikawapa muda , na sikuwaharakishia adhabu na kwa hivyo wakaghurika, kisha nikawachukuwa kwa kuwaadhibu katika hii dunia, na ni kwangu ndio marejeo yao baada ya kuangamia kwao nitawapa adhabu wanayostahili