Entrar
Entrar
Entrar
Selecione o idioma

Tafsir: Al-Hajj 22:48

22:48
وكاين من قرية امليت لها وهي ظالمة ثم اخذتها والي المصير ٤٨
وَكَأَيِّن مِّن قَرْيَةٍ أَمْلَيْتُ لَهَا وَهِىَ ظَالِمَةٌۭ ثُمَّ أَخَذْتُهَا وَإِلَىَّ ٱلْمَصِيرُ ٤٨
وَكَأَيِّن
مِّن
قَرۡيَةٍ
أَمۡلَيۡتُ
لَهَا
وَهِيَ
ظَالِمَةٞ
ثُمَّ
أَخَذۡتُهَا
وَإِلَيَّ
ٱلۡمَصِيرُ
٤٨
E quantas cidades iníquas temos tolerado! Mas logo as castigarei e a Mim será o destino.
Tafsirs
Camadas
Lições
Reflexões
Respostas
Qiraat
Hadith
Kuna miji mingi ilikuwa kwenye udhalimu, kwa ukakamavu wa watu wake juu ya ukafiri, nikawapa muda , na sikuwaharakishia adhabu na kwa hivyo wakaghurika, kisha nikawachukuwa kwa kuwaadhibu katika hii dunia, na ni kwangu ndio marejeo yao baada ya kuangamia kwao nitawapa adhabu wanayostahili